89. KWA KALVARI
KWA KALVARI
1. Muda mwingi nilipotea,
Sikufahamu msalaba,
Wala aliyenifilia,
Kwa Kalvari.
Chorus:
Rehema bure na neema,
Samaha nalo nilipewa,
Ndipo aliponifungua,
Kwa Kalvari.
2. Kwa neno lake Bwana Mungu,
Nilijiona mimi mwovu,
Nikageuka na kutubu,
Kwa Kalvari.
3. Yote kwa Yesu namtolea,
Ndiye mfalme wa pekee sasa,
Kwa furaha nitamwimbia,
Kwa Kalvari.
4. Jinsi pendo lilivyo kuu,
Neema ilishuswa toka juu,
Alitufanyia wokovu,
Kwa Kalvari.
Rehema bure na neema,
Samaha nalo nilipewa,
Ndipo aliponifungua,
Kwa Kalvari.
2. Kwa neno lake Bwana Mungu,
Nilijiona mimi mwovu,
Nikageuka na kutubu,
Kwa Kalvari.
3. Yote kwa Yesu namtolea,
Ndiye mfalme wa pekee sasa,
Kwa furaha nitamwimbia,
Kwa Kalvari.
4. Jinsi pendo lilivyo kuu,
Neema ilishuswa toka juu,
Alitufanyia wokovu,
Kwa Kalvari.
Comments
Post a Comment